MY TANZANIA   |   PLACES TO GO   |   MEDIA   |   ONLINE ENTERTAINMENT    

Wapenzi wa muziki wa jiji la Dar-es-salaam walishuhudia na kupata burudani ya aina yake kutoka kwa mwanamuziki wa miondoko ya Ragga,Shaggy, kutoka Marekani pale alipofanya onyesho la aina yake ndani ya viwanja vya Leaders Club jijini Dar.Hiyo ilikuwa mojawapo ya burudani mbalimbali ambazo wakazi wa jiji la Dar-es-salaam wamekuwa wakishuhudia hivi karibuni ikiwa ni mfufululizo wa sherehe za kuzaliwa upya kwa kampuni ya simu za viganjani ya Celtel ambayo sasa inaitwa Zain.

Patashika nguo kuchanika,it was Shaggy’s time!

Tuimbe sote,ya’ll know my songs,don’t you?

Who says wabongo hawajui vitu vizuri?Come on now…

Share and Enjoy:
  • Digg
  • Sphinn
  • del.icio.us
  • Facebook
  • Mixx
  • Google Bookmarks
  • email
  • LinkedIn
  • Live
  • Spurl
  • Technorati
  • Yahoo! Buzz
  • YahooMyWeb

Feedback / Comments

22 Responses to “SHAGGY ALIVYOITEKA DAR”

  1. Comment by Gervas on August 10th, 2008 10:33 am

    Mara ooooh, maisha yamepanda bongo, mara oooh, nauli juu…. mbona watu wanakula bata tuu?

  2. Comment by maspidi on August 11th, 2008 4:32 am

    Hello hello BC, vipi blog ya Michuz imeingiwa na Mchwa tena?Haipatikani, nyie Wanga na Mafisadi bebu mwachieni Blog yake Baba wa Watu,kawakosea nini tena?Au ni tatizo la kiufundi tena?Hebu tupashe BC whats the problem?Au wanataka tuandike kila kitu kiko sawa Bongo,au?Kuhusu Shaggy yuko Bomba kichizi mshikaji!Si unajua mambo ya Dance Hall manake,shurti ufunge Zip,vinginevyo…….midebedwo!

  3. Comment by Pearl on August 11th, 2008 5:05 am

    tena Gervas ukisema bata inakuwa haitoshi kwasababu bata hapai yuko chini tu,mi nadhani tuseme “WATU WANAKULA MWEWE”,hii inaonyesha watu mambo yao yako juu kifedha.

  4. Comment by Kaka on August 11th, 2008 8:12 am

    wachache haoi kaka, ukichukua total population ya dar tu hao ni minority na ndio wanaokaa Bagamoyo road, nenda Mbagala, kiwalani, manzese n.k. we acha tu kaka

  5. Comment by anne on August 11th, 2008 11:00 am

    Highlights: Well known for its distance runners, Tanzania has surprisingly only ever won two Olympic medals. Both came at the 1980 Moscow Olympic Games in the Soviet Union where Filbert Bayi came second in the men’s 3000m steeplechase and Suleiman Nyambui finished a desperately close second to Ethiopia’s Miruts Yifter in the men’s 5000m event.

    Bayi missed out on the chance to compete four years earlier in Montreal when Tanzania joined the African boycott of the 1976 Games. Bayi was the then world record-holder in the 1500m.

    At the 1968 Olympic Games in Mexico City, Tanzanian marathon runner Stephen Akhwari badly injured his knee but limped on to finish over an hour behind the rest of the field. When asked by filmmaker Bud Greenspan after the finish why he had continued to run, Akhwari famously replied, “My country did not send me 7000 miles away to start the race. They sent me 7000 miles to finish it.”
    Anthem
    Title: “Mungu ibariki Afrika” [God Bless Africa].
    Composer:
    Inducted: 1961
    Membership
    Founding Date: 1968
    Date of IOC Recognition: 1968
    Officials
    NOC President: Gulam A. Rashid
    NOC General Secretary: Major Filbert Bayi
    IOC Member(s):
    Participation
    First OG Appearance: 1964
    Number of OG Appearance: 10
    Summary: Medals per sport Sport Gold Silver Bronze Total
    Athletics 0 2 0 2
    Total 0 2 0 2

    Medals per year
    Year Gold Silver Bronze Total

    1980 0 2 0 2
    Total 0 2 0 2

    from
    http://results.beijing2008.cn/WRM/ENG/BIO/NOC/TAN.shtml

  6. Comment by mr. misifa yo on August 11th, 2008 11:35 am

    mnajua kiingilio kilikua bei gani we gerva?it was 7000 tshs!..thats damn cheap man

  7. Comment by binti-mzuri on August 11th, 2008 12:09 pm

    mm watu pipooooo

  8. Comment by tiandra jones on August 11th, 2008 2:02 pm

    hao ukiangalia ni watotn wawafisadi na watu wanahangaika hata kodi za nyumba zinawashinda. mimi nafanya kazi google . najua kwa nini blog ya michuzi wana deny acces.

  9. Comment by Matty on August 12th, 2008 4:39 am

    FIESTA FIESTA!!!!!! na hayo ndo maisha bora kwa kila mtanzania.

    umbea si kazi,sema ueleweke litakayempata ndo huyo!

  10. Comment by any on August 12th, 2008 8:23 am

    huyo mdada analipa kweli. ni macho yangu tu!

  11. Comment by maka on August 12th, 2008 7:24 pm

    Ish! dat chick z ridiculously hoooot….m bongo kweli huyo….na huyo kulia kwake ni nani kwani……!

  12. Comment by Dunda Golden on August 13th, 2008 8:59 am

    KWELI BONGO SI MCHEZO MTU KIBAO
    FURAHA TELE

  13. Comment by Mkate on August 13th, 2008 2:27 pm

    Kweli ndugu zanguni maendeleo kwetu ni ndoto…narudia tena NDOTO.
    Nilishaomba sana tuleteeni motivational speakers (Kina Dale Carnegie, au hata watu kama Bill gates, Warren Buffet etc)…kina shaggy na senti hamsini wanatumalizia tu pesa bila faida yoyote..
    tubadilikeni..
    OMBI kwa Zain, Voda na Tigo…”Pse fanyeni mpango huo…we apreciate ur efforts4entertaining us..bt pse pse n pse…tumechoka kuongezewa umaskini.
    Hiyo wiki b4 shaggy aje..niliibiwa simu yangu na hao watu wakaniambia tunataka kwenda kwa shaggy…so, fikirieni i spent more than two week bila simu…no money4u..bt shaggy alipata pesa yake..
    ni mfano tu…ila HABARI NDO HIYO??!1

  14. Comment by trii on August 14th, 2008 3:08 am

    Mkate===umenifurahisha,hii ndo bongo,siku hz vibaka wala hawakabi wanakwambia tuu leta simu,yani kama yao vile.

  15. Comment by trii on August 14th, 2008 3:12 am

    na ukisema wasanii wasije bongo kwa kweli si dhani kama itawezekana,kama unavyo ona watu kibao kwenye hiyo picha hapo juu,baada ya kazi ni mapunziko.

  16. Comment by malcolm on August 14th, 2008 8:58 am

    Itachukua karne kwa wa Tanzania kuendelea na kama hatubadiliki!
    Maana wabongo kwa starehe ni bora sana wakati hao hao hawana huakika hata wa mlo mmoja,lakini tuko ladhi kijibana na kuwachuna wenzetu kisa starehe!
    Tubadilike wajaameni

  17. Comment by Pitah Mtui on August 15th, 2008 3:43 am

    Ja Mon,big tings a gwaan inna Bongo,a dancehall ting dat and Shaggy a mi artist still from ninenteen how long,a way back den.

  18. Comment by adakadabra on August 15th, 2008 11:10 am

    Pitah Mtui Says: August, 15, 2008 at 3:43 am

    ELIMIKA KAKA.HIKO KILUGA GANI

  19. Comment by jay on August 17th, 2008 3:31 pm

    Bongo kuzuri ila aisee mambo ya ujambazi yanatisha maana mtu hulali miye naona nibanebane tu huku ughaibuni

  20. Comment by Matty on August 18th, 2008 7:15 am

    hahahahahahahaha jamani Pitah Mtui ulichoongea hakikuniacha hoi kama alivyocomment adakadabra mh still loughing hhaahhaahahahahahahaha

  21. Comment by binti-mzuri on August 21st, 2008 12:32 pm

    hehehehehe matty hujacheka ka mie.. hehehehehhehehe

  22. Comment by Matty on August 23rd, 2008 9:02 am

    Binti-mzuri humu kuna watu wamedata acha tucheke maisha yenyewe mafupi!

Leave a Reply