MY TANZANIA   |   PLACES TO GO   |   MEDIA   |   ONLINE ENTERTAINMENT    

Miongoni mwa wanawake wanaofahamika na kuheshimika katika fani ya sheria nchini Tanzania ni Jaji Eusebia Nicholas Munuo(pichani).Hivi leo yeye ndio Makamu wa Rais Mteule wa Chama Cha Majaji Wanawake Duniani(IAWT).Mbali ya cheo hicho,Jaji Munuo pia ndio Mwenyekiti wa Chama Cha Majaji Wanawake nchini Tanzania(TAWJA).Yeye ndio Hakimu wa kwanza mwanamke nchini Tanzania na pia Jaji wa kwanza mwanamke katika Mahakama ya Rufaa nchini Tanzania.

Miezi kadhaa iliyopita Jaji Munuo alifanya mahojiano maalumu na mwandishi Happy Katabazi kuhusiana na mambo mbalimbali ya kijamii,kisheria na pia kumhusu yeye binafsi.Je ni kweli kwamba Jaji huyu aliwahi kuamuru kwamba mumewe atiwe ndani kutokana na kuidharau mahakama?Ili kupata jibu la swali hilo na mengine mengi kumhusu Jaji Eusebia Munuo,bonyeza hapa uitembelee blog ya Happy Katabazi.

Photo/Happy Katabazi

Share and Enjoy:
  • Digg
  • Sphinn
  • del.icio.us
  • Facebook
  • Mixx
  • Google Bookmarks
  • email
  • LinkedIn
  • Live
  • Spurl
  • Technorati
  • Yahoo! Buzz
  • YahooMyWeb

Feedback / Comments

10 Responses to “JAJI EUSEBIA N.MUNUO”

  1. Comment by Kimori on June 23rd, 2008 5:57 am

    Justice is not only to be done, but is to be seen done!

  2. Comment by Edwin Ndaki on June 23rd, 2008 9:14 am

    Hongera mama.
    mfano mzuri wa kuigwa

  3. Comment by hombiz on June 23rd, 2008 9:58 am

    Kanyaga twende mama!

  4. Comment by DUNDA GALDEN on June 23rd, 2008 11:12 am

    Inaonyesha njia ya matumaini mema. bali tuu italeta faraja ikiwa mtapongezana nyinyi wakina mama kwa kila hatua nzuri
    nasi tufuate nyao zenu Lah kazii bado nzito.kwenye mataifa mengine sehem nyingi utakuta mpo……
    HONGERA SANA MAMA
    Chafosa

  5. Comment by binti-mzuri on June 23rd, 2008 11:12 am

    make that money!i envy your profession

  6. Comment by kapisi on June 24th, 2008 12:44 am

    great,great….

  7. Comment by Matty on June 24th, 2008 4:17 am

    safi mama wakilisha!

  8. Comment by kekue on June 24th, 2008 4:35 am

    Hongera sn mama, ngoja nifuate nyayo zako. Nitafika tu.

  9. Comment by godfrey munuo on May 9th, 2009 2:58 pm

    congratulation mama yetu mpendwa kwa kuonyesha mwanga,but please try to show actions and words

  10. Comment by godfrey munuo on May 9th, 2009 3:00 pm

    hongera mama yetu mungu akusaidie uchape kazi na sio maneno

Leave a Reply