
Miongoni mwa wanawake wanaofahamika na kuheshimika katika fani ya sheria nchini Tanzania ni Jaji Eusebia Nicholas Munuo(pichani).Hivi leo yeye ndio Makamu wa Rais Mteule wa Chama Cha Majaji Wanawake Duniani(IAWT).Mbali ya cheo hicho,Jaji Munuo pia ndio Mwenyekiti wa Chama Cha Majaji Wanawake nchini Tanzania(TAWJA).Yeye ndio Hakimu wa kwanza mwanamke nchini Tanzania na pia Jaji wa kwanza mwanamke katika Mahakama ya Rufaa nchini Tanzania.
Miezi kadhaa iliyopita Jaji Munuo alifanya mahojiano maalumu na mwandishi Happy Katabazi kuhusiana na mambo mbalimbali ya kijamii,kisheria na pia kumhusu yeye binafsi.Je ni kweli kwamba Jaji huyu aliwahi kuamuru kwamba mumewe atiwe ndani kutokana na kuidharau mahakama?Ili kupata jibu la swali hilo na mengine mengi kumhusu Jaji Eusebia Munuo,bonyeza hapa uitembelee blog ya Happy Katabazi.
Photo/Happy Katabazi
Feedback / Comments
10 Responses to “JAJI EUSEBIA N.MUNUO”
Leave a Reply


Justice is not only to be done, but is to be seen done!
Hongera mama.
mfano mzuri wa kuigwa
Kanyaga twende mama!
Inaonyesha njia ya matumaini mema. bali tuu italeta faraja ikiwa mtapongezana nyinyi wakina mama kwa kila hatua nzuri
nasi tufuate nyao zenu Lah kazii bado nzito.kwenye mataifa mengine sehem nyingi utakuta mpo……
HONGERA SANA MAMA
Chafosa
make that money!i envy your profession
great,great….
safi mama wakilisha!
Hongera sn mama, ngoja nifuate nyayo zako. Nitafika tu.
congratulation mama yetu mpendwa kwa kuonyesha mwanga,but please try to show actions and words
hongera mama yetu mungu akusaidie uchape kazi na sio maneno