MY TANZANIA   |   PLACES TO GO   |   MEDIA   |   ONLINE ENTERTAINMENT    

Countdown ya mashindano ya Miss World 2007 imeshaanza. Zimebaki siku chini ya 25 kabla kitendawili cha mrembo mpya wa dunia kutenguliwa huko mkoani Sanya nchini China.

Ingawa mashindano ya mwaka huu hayatokuwa na washindi wa mabara kama ilivyokuwa mwaka 2005 na 2006, warembo 13 wanaoziwakilisha nchi zao za kiafrika watakuwa na kazi ya ziada kuhakikisha kwamba bara la Afrika halitoki patupu kabisa. Warembo kutokea barani Afrika ambao wanaelekea China mwaka huu ni kutoka Angola, Botswana, Ethiopia,Ghana,Kenya,Namibia,Nigeria,Afrika Kusini,Swaziland, Sierra Leone,Tanzania,Uganda na Zimbabwe.

Jumla ya nchi 107 zinashiriki mashindano ya mwaka huu ambayo kama tulivyosema hapo juu,hayatokuwa na washindi wa mabara. Kama mtakumbuka mwaka 2005 mrembo kutoka Tanzania,Nancy Sumary, alikuwa Miss World Africa kutokana na utaratibu wa miaka hiyo wa kutoa washindi ki-mabara.

Mwaka huu washindani wote watakuwa wanawania nafasi 15 za juu na pia nafasi 5 za kutwaa mataji ya Beach Beauty, Beauty With A Purpose, Sports, Talent na Top Model Contest. Hizi hapa ndio picha za washiriki wanaoliwakilisha bara la Afrika.Ungemchagua nani?

 

Kutoka Tanzania-Richa Adhia (19)

 

Kutoka Kenya Catherine Wainaina(22)

 

Kutoka Uganda-Monica Kansiime Kasyate (21)

Hao ni kwa upande wa Afrika Mashariki. Wengine waliosalia kutoka Afrika endelea hapa

 

 

Kutoka Nigeria- Manuchi Gail Teresa Abii Nwankwo (20)

 

Kutoka Zimbabwe-Caroline Marufu (24)

 

Kutoka Afrika Kusini-Megan Kate Coleman(22)

Kutoka Siera Leone-Fatmata B.Turay (20)

 

Kutoka Namibia-Marichen Jolandi Luiperth(21)

 

Kutoka Ghana-Irene Akosua Dwomoh(21)

 

Kutoka Swaziland-Nkosing’phile Dlamini(22)

 

Kutoka Angola-Micaela Patricia Reis (18)

 

Kutoka Botswana-Malebogo Marumoagae(24)

 

Kutoka Ethiopia-Mihiret Abebe(19)

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

Share and Enjoy:
  • Digg
  • Sphinn
  • del.icio.us
  • Facebook
  • Mixx
  • Google Bookmarks
  • email
  • LinkedIn
  • Live
  • Spurl
  • Technorati
  • Yahoo! Buzz
  • YahooMyWeb

Feedback / Comments

55 Responses to “TUMAINI LA AFRIKA MISS WORLD 2007.”

  1. Comment by lizzie on November 7th, 2007 3:45 am

    miss uganda so pretty hapo mimi ninge mpa uganda ningumu kwa mimi binafsi ku judge uzuri wa muhindi kwasababu sijui sorry Richa

  2. Comment by Kizito on November 7th, 2007 4:34 am

    Richa kasimama mara mia ya hao wote.
    It is not that I am obsessed with citizenship, it is all bout the reality.
    Even wewe bro najua hapo umekoma.

  3. Comment by Cindy on November 7th, 2007 4:57 am

    I will choose Nigeria she is pretty nice eyes good smile !!!next Ridha

  4. Comment by maya65 on November 7th, 2007 6:00 am

    mhhh mtoto wa kiganda kasimama si mchezo babaake…
    real african beauty

  5. Comment by Kimori on November 7th, 2007 6:26 am

    No doubt even a blind can guess that Irene Akosua Dwomoh from Ghana is authentically an african woman….DNA experts would have bo difficulties in confirming the fact!

  6. Comment by mesa on November 7th, 2007 6:47 am

    mbona tz hatuna mwakilishi jamani?

  7. Comment by Ally on November 7th, 2007 9:17 am

    watu pasua kichwa humu!sasa Tanzania hatuna mwakilishi kvp?we humuoni huyo ktoka south africa?alaf huyo mnaesemaq mdosi ndio yuko sanya sasa hizi haahahha.

  8. Comment by Dinah on November 7th, 2007 10:06 am

    1)Nigeria, 2)Namibia, 3)Angola 4)Ethiopia….Miss Bitswana ana “great body” anaweza akaukwaa pia ila Miss Tz-India Sura yake kama imepinda kwa juu kuelekea kushoto alafu pua na masikio yamezidi kiwango cha TBS :-)

    Kila la kheri nyote wenye asili ya Kiafrika…I mean weusi.

  9. Comment by mary on November 7th, 2007 11:35 am

    mi nampasapoti mtanzania mwenzangu though Nigeria na Ethopia watampa challenge. Watanzania mkitaka ushindi bila shaka inabidi mumpe mtanzania mwenzenu sapoti.All the best RADHIA.

  10. Comment by TanzanianDream on November 7th, 2007 12:00 pm

    Mtanzania mwenzetu yupi? mbona sioni Mtz hapo….Labda Miss Ethiopia/Nigeria wana nafasi kubwa…Ila katika wote hao sidhani kama Miss Tanzania ana vigezo vya u Africa hata kiduchu….Pamoja

  11. Comment by TanzanianDream on November 7th, 2007 12:02 pm

    hana***

  12. Comment by Nana on November 7th, 2007 2:47 pm

    Richa hapati kitu ni hapa TZ wamezoea kuonga ndio maana kapata taji.Hakirudi tu hutasikia hoo nimeshinda miss bikini.

  13. Comment by pocho on November 7th, 2007 3:10 pm

    janani mi nawaambia miss TZ atakuwa katika 15 bora na posibility ni kuwa atakuwa miss world africa ni mpole mtaratibu na sura nywele,midomo,mkao wa macho yake na umbile lake ni moja ya vigezo D.TRUMP anatafuta.
    jamani wa TZ mkibaguliwa mnaleta nyodo mbona njie mnambagua binti wa watu?Aibu yetu….

  14. Comment by bon on November 7th, 2007 3:31 pm

    Standouts are Nigeria, Angola, Namibia and Ethiopia. I think for the queen of Africa, its between Angola and Ethiopia.

  15. Comment by lil on November 7th, 2007 3:36 pm

    Funny that people like Nigeria and are being so mean to Tanzania. Nigeria by the way is mixed. Although Tanzania doesn’t stand a chance, I commend her for representing Tanzania. For all the haters who are probably going to be pointing fingers at her when she does’nt place just keep in mind that only 1 out of 12 Tanzanian contestenat has ever placed. (food for thought). Stop being mean to her and lets support her 100%.

  16. Comment by Pope Pius on November 7th, 2007 8:55 pm

    Kitu ambacho sijakielewa hadi leo kwa nini warembo wengine walifurahia sana alipotangazwa huyu dada ni mshindi…i mean wale washiriki wengine maana nilikuwepo, ile ilionyesha kuwa walikubali ana vigezo vya ushindi… na mbona South Africa kasimama Mdhungu jamani…..?

  17. Comment by mzaliwa on November 7th, 2007 8:58 pm

    Hahahahha wazaliwa naona mmemtolea macho muhindi,mtoto kaula kama kweli nyinyi wazawa na sio wazaliwa mngewatoa wahindi kwenye bunge lenu.alafu mnaokashifu mnataka muafrika alisi hawakilishe mngeenda kugombania mtuwakilisha.kima wa bluu nyie .msijali yanapita tu hayo ,yanafanyika kila mwaka sema wale wabunge wakihindi wanakaa miaka mitano.

  18. Comment by Mobhare Matinyi on November 7th, 2007 9:12 pm

    Utaifa kwanza, mrembo wa Nigeria maridadi lakini ngoma mwaka huu inatua Tanzania tena kama mwaka ule!

  19. Comment by TanzanianDream on November 8th, 2007 1:06 am

    Ubongo tofauti mawazo tofauti….Ulieuliza Miss RSA kuwa mzungu bila shaka wewe sio MuaFrica leave alone uTanzania….

    Nway Nancy alishinda kwa sababu Mamiss waliobakia kwenye ule mchujo alikuwa Miss RSA ambae alikuwa mzungu yeye akashinda kwa sababu alibaki mweusi peke yake (wanaojua dark continent) wanaweza husianisha…..

    Otherwise huyu Mdosi hana nafasi nyie subirini mtaona tu….

  20. Comment by Yassie on November 8th, 2007 2:20 am

    Yetu macho, hilo ndio chaguo la kina Lundenga hata tukisema nini haitosaidia kwa kifupi LETS SUPPORT HER kwani ndio tayari anatuwakilisha, au vp??imeshatokea, no way out kumbadili.

  21. Comment by Oswald on November 8th, 2007 2:56 am

    NAdhani busara na Uzalendo hautumiki katika nchi yenu mmekuwa wa kwanza kujikandamiza wenyewe na haitosaidia bali itawapoteza wa Tz.Mrembo wa tz yuko poa na anasifa zote za kufanya vizuri wacheni kuangalia rangi.Pendeni kujisifia wenyewe kwanza ili wengine wapate kuwasamini na sio kujishusha kama mfanyavyo mwaweza jikuta hamuendelei na kubaki laumu viongozi.Richa Keep it up usisikilize kerere za chura.

  22. Comment by Neema on November 8th, 2007 3:50 am

    Mnaofananisha South Africa, hamjui historia ya SA, ile ni nchi mchanganyiko, SA iko tofauti kabisa na nchi nyingine za kiafrika, tutam-support tu huyo mhindi wetu kwa shingo upande lakini ukweli upo palepale hawafikii kabisa hao warembo wa kiafrika kutoka kwa wenzetu…

  23. Comment by doreen carlez on November 8th, 2007 5:25 am

    respect 2 mic tz coz she iz so beautiful dan ol da galz i hav seen frm africa keep t up richa ur da best among ol don worry ull get our support n im sure ur gng 2 b mic africa dont mind wat people speak abt u jus do wel dare n take care.n u guyz y ru sayin bad wordz 2 our mic stop t n mind ur own bussiness k whether u lik t o nt richa frm tz iz da best among ol

  24. Comment by ashura on November 8th, 2007 5:36 am

    Good luck for misstz,but uganda she is the prettiest hakuna cha naijeria, angola, ethiopia wala nn.

  25. Comment by maureen on November 8th, 2007 6:20 am

    I definately think ts goin to be a tough competition bse the girls frm Angola,Ethiopia n Nigeria are absolutely beautiful….Mis Tz however doesnt look too bad herself,with enough support frm watanzania we might get suprized…..
    Maybe hatukupendezwa na uchaguzi wake,but i think enough has been said…….the girl is confident n needs our support…lets give her that n less hatred will help…..one lov ppl

  26. Comment by shabiki on November 8th, 2007 7:15 am

    jamani, sijawahi kuona m-nigeria mwenye rangi nzuri namna hiyo. lakini mganda ni chaguo langu.

  27. Comment by Chiki on November 8th, 2007 7:53 am

    Hahahahaha!! Dinah leo umenifurahisha sana, nakuunga mkono mama!! Jamani tukubalini huyu Miss Nigeria katulia! Mtoto utadhani kashushwa fro the heaven!!
    Tz hakuna kitu!!!

  28. Comment by mwema on November 8th, 2007 8:07 am

    Ni upuuzi kuhoji utanzania wa Richa sasa hivi, wakati wahindi kibao wamo bungeni!!!ni kukosa akili kuanza kumsakama Richa. Lakin ukweli Richa ni mrembo, anaonekana muungwana sana hata kabla hujaongea naye, kifupi ni mrembo kupita hata hao waliomtangulia mamiss tz!

  29. Comment by mwema on November 8th, 2007 9:44 am

    Kuhoji uwakilishi wa richa miss word kama ni halali au si halali ni kitu kdg sana ukilinganisha na kuhoji uhalali wa wawakilishi wa wananchi bungeni, ambako msingi wa sheria zote za nchi hutungwa, hata hizo za kuelekeza namna ya kumpata miss tanzania!!! ni vp ulalamike richa kuwa miss tz, halafu usilalamike mhindi kuwa mbunge!!!kama sio wendawazimu ni nini sasa!!!

  30. Comment by Olly on November 8th, 2007 11:03 am

    jamani jamani ubaguzi huu utatusaidia nini watanzania? mbona tunachagua wabunge wahindi na wanawakilisha majimbo yao yaliyo sheheni watu weusi? mwache mtoto wa watu akatuwakilishe maana anakigezo muhimu cha u Tanzania hata kama ni mhindi. Akirudi na kombe la Miss World sijui mtasema nini. Tumuombee ashinde!!

  31. Comment by zigo on November 8th, 2007 12:31 pm

    kila mtu ana nafasi yake kutoka kwa MUNGU maishani, sijui tutasemaje pale richa atakapokuwa anavishwa taji la Miss World! Remember, Magumu anayoukumbana nayo huyu dada ndio mwanga wa ushindi maishani mwake. We may miss a place to run on her landing!

  32. Comment by TanzanianDream on November 8th, 2007 2:43 pm

    Wabongo kwa stori eti magumu,wengine avikwe taji,wengine wanaona uungwana…mradi kila mmoja aongee….

    Kama ilivyo kwa kina gulamali Richa ni mhindi tu hata afanyaje….Kwani hao kina Gulamali na wengineo si kila siku watu wanalalamika au sababu hawalalamiki hapa???

    huwezi lalamika kama hujaona picha za wahusika as unalalamika accordingly….

    Kama kigezo ni uzuri Richa sio mzuri kuliko hao hapo….
    Kama kigezo ni RAngi hao ni weusi na Richa hana hata ule kusema ni Uafrica….
    Kama kigezo ni elimu bado hana elimu ya kusema anamsumbua mtu(form four ambae hatujui hata kama alifaulu au alifeli…LoL).
    Kama kigezo ni Asili ndugu yenu rangi imeshamponza….

    NB: bunge halitungi sheria za Miss World..

    Kama mtaroga apate huo ushindi bado kwangu Hana vigezo vya Utanzania na hakuna kitakachobadilika zaidi nayaona hayo mashindano hadi sasa kuwa ni BATILI…

    Anaesema hakuna la kufanya anakosea lipo la kufanya/yapo ya kufanya ….Ni kuongea hadi pale utakaporidhika na nafsi yako ndo unamove on ili hao wapuuzi husika na kufanya hizi tuzo kuanzia ngazi za vitongoji wajirekebishe…Not Otherwise…Pamoja

  33. Comment by gasto on November 8th, 2007 5:20 pm

    ETI SURA IMEKAA UPANDE, SO UNAMDHIHAKI MUUMBA KAMA KAKOSEA KUUMBA, ACHENI UBAGUZI MKAFIKA MPAKA KUMDHIHAKI MUNGU KTK MAUMBAJI YAKE.

  34. Comment by mzaliwa on November 8th, 2007 7:01 pm

    Watanzania kwa kujambisha .jamba jamba nyingii mshaambiwa huyo demu kila kitu kinachomkuta nichake binafsi .who cares about miss world nashida tulizokuwa nazo hizi? Dunia inalilia mafuta wakati nyinyi hata maji masafi bado hamyaoni.richa namtakia kila la kheri na ushindi wake aliopata humsaidie katika maisha yake sio maisha ya mtanzania. Lieni na wabunge wenu wahindi,kama kweli nyinyi weusi mngewachagua weusi wenzenu wawakilisheni bungeni.kila siku mnajambisha .piganieni haki ya weusi wenzenu wanaopata shida vijijini na mjini sio rangi ya Richa.matatizo gani wameyatatua hao mamiss waliowailisha waliopita? Kama sio wanasonga na maisha yao tu binafsi.kinawasumbua hapa ni roho ya korosho.

  35. Comment by anony on November 8th, 2007 7:11 pm

    Achane mambo yenu hayo ya kibaguzi. Kwani hao weusi mnaowapeleka kila mwaka ukiacha Nancy walifika wapi Miss World. Si wote walirudi mikono mitupu, Na mlisema nini?
    Nakutakia kila la heri Richa. I b’lve u gonna make it. No matter what people say just keep it real

  36. Comment by Leonard Lugumisa on November 9th, 2007 2:43 am

    Richa,Fatmata,Irene na Mulebogo kweli hawa wanatisha na ninajua lazima katika hawa watakuwepo kwenye mataji muhimu mwisho mnageria na yeye yuko kama mnabisha mtaniambia.Mwisho nawambia Richa anatisha nahakika atawakilisha vyema TZ.

  37. Comment by Elinaike on November 9th, 2007 2:45 am

    My dear kama ningekuwa jaji ningewachagua watu 2 miss Uganda and miss Nigeria.I love them.

  38. Comment by joseph on November 9th, 2007 3:32 am

    Dada yetu wa tz alikuwa na vigezo ambavyo vimemwezesha yeye kushinda,cha msini ni watu kubadilika kimawazo,mitazamo tuliyonayo haiwezi kutukomboa kwa wakati huu tulionao,anapotokea mwenye uwezo zaidi haijalishi yuko vipi au ana rangi ipi,ebu tumkweze kwa ajili ya manufaa yetu haswa kiutalii na uwekezaji!

  39. Comment by ALMA-KAREN on November 9th, 2007 12:27 pm

    acheni ubaguzi RICHA ANASTAHILI NA TAJI LAKE LINATAMBULIWA. HAO WENYE VIGEZO MBONA WALIENDA NA KURUDI WITH NOTHING BUT CATWALK.SIWAPONDI MA MISS WETU WALIOPITA NA WALIOKUWA KWENYE KINYANG’ANYIRO CHA MASHINDANO WITH RICHA ISIPOKUWA SASA INABIDI TUKUBALIANE NA MATOKEO IKIWEZEKANA TUM-SUPPORT RICHA MA’NAKE LONGOLONGO ZIMEKUWA NYINGI SANA SASA. NEXT TIME AKISHINDA MISS MWANZA MTASEMA KASHINDA MSUKUMA MASHINDANO YANAENDESHWA DAR TUNATAKA MZARAMO, WENGINE WATAONGEZA KATOKA BARA SANA HATA ENGLISH YAKE YA KISUKUMA. NA AKISHINDAJE KWANZA (WENGINE WATAHOJI)

  40. Comment by Abdalla on November 9th, 2007 1:12 pm

    Richa looks good and will win any prize but she has got to watch out for miss Angola though?!

  41. Comment by Janet on November 10th, 2007 4:51 am

    mm sijaona muwakilishi wa tz

  42. Comment by daya on November 10th, 2007 10:40 pm

    Watu bwana heti ubaguzi hoo mbona wengine walikwenda hawakurudi na ushindi, kama watu hawamtaki ni hawamtaki tu hata mseme wabaguzi.Mbona alishiriki miss utalii karudi mikono mitupu sasa kapachikwa MISS TZ Hoo mzuri acheni ubaguzi WATANZANIA HAMKENI hivi mnafikili hatashinda.

  43. Comment by Dot on November 11th, 2007 3:06 am

    Kumbe wabongo ndo mlivyoo?? sasa hili bara la africa, kwa yale maoni ya wengi naona africa for black only? tuite nini…si UBAGUZI??? Achaneni na mitazamo ya 19 kweusi….dunia ilivyo sasa hakuna rangi hii ya wapi hii ya wapi..ikiwa hivyo africast wataenda wapi? mana hapa mrembo wa south, angola na TZ wanatolewa kafara..kwa mitizamo yenu nyie wenzangu na mimi (wabaguzi wazuri) acheni hizo…

    Richa kwa africa nampa nafasi ya kwanza, next Miss Ghana..(sorry wabaguzi.. but charity begins at home!!!!!!)
    Thanks.

  44. Comment by musika on November 11th, 2007 8:58 am

    Mungu Ibariki Afrika, 1+1=2

  45. Comment by Mauni on November 11th, 2007 7:30 pm

    Yote heri tu wana wane

  46. Comment by laila on November 12th, 2007 6:43 am

    Mimi nawaona mapungufu wa akili wale wote waliomponda richa
    cha msingi jiulizeni ni nani mtanzania
    mukipata jawabu basi richa ana kila haki na uchaguzi ulikuwa sahihi.
    richa songa mbele.

  47. Comment by bdo on November 12th, 2007 2:15 pm

    please let’s agree…real 1+1=2

  48. Comment by LWABULINDA JOSEPH on November 21st, 2007 2:05 am

    Richa amesimama tumpe sapoti
    rangi sio hoja mbona wewe mbaguzi hufanani na baba yako.

  49. Comment by trii on November 28th, 2007 3:47 am

    jamani BUNGENI wahindi wapo lkn sio SPEAKER wa bunge ni wabunge wa kawaida tu,ngazi ya miss kinondoni ilikuwa tosha(ndo sawa na wabunge)lkn ngazi ya miss TZ ni kubwa mno sawa na speaker wa bunge, JE MNGEKUBALI SPEAKER AWE MUHINDI????

  50. Comment by mpoki on November 28th, 2007 6:50 pm

    wote wanaomuunga mkono Huyo dada hawawajui wahindi.Ukija ukaka nao kwa muda utajua ni watu wa aina gani
    Mimi siwapendi kabisa in general
    I feel ashamed my country is represented by an Indian.Just waiting for next year.Lakini aibu kubwa ni kwa majaji kuona she is proper.
    BETTER KNOW THAT INDIANS NI WATU WABAYA SANA.
    Dunia yajua nashangaa kuna watu wanawasapoti.Wake up

  51. Comment by abdullah on November 29th, 2007 1:44 pm

    Wewe mpoki unasema habendi kabisa Muhindi in general. Kama mtu nashukia moja au 10 haoni kwa nini kushukia yote?. watu yote naundwa na Mungu na yote sio moja yuko mhindi mzuri na yuko Mhindi mbaya. Kama yuko mtu ya Africa mzuri na pia yuko mbaya.
    Mimi unoona hamna maana ya kushukia binadaam kama wewe..
    Washa baguzi yako hiyo ndiyo sumu unofanya weye onashukia mtu yote..

  52. Comment by gloria kiama on December 7th, 2007 7:57 am

    Mimi kwa muono wangu ni kuwa hakuna haja ya kulalamika wakati kaisha fika mbele kama tungekuwa na msimamo tunge kataa huku huku tanzania kawalivyo na msimamo wa south, mambo muya fanye wenyewe alafu mji koshe hapa msiumize watu masikio, cha kufanya ni kulekebisha wakati mwingene na kuwa makini katika uchaguzi wetu.

  53. Comment by gloria kiama on December 7th, 2007 8:00 am

    watanzania hatuna akili hatuoni ukiangalia mzungu na huyo muhindi wetu wanatoka nje kabisa ndio maana kila kitu tunasubili kufanyiwa. Hata akili ya kuona tu.

  54. Comment by Jafferson on July 15th, 2008 8:12 am

    looking good girl

  55. Comment by young money on December 11th, 2008 9:26 am

    whats up unatisha sana demu basi njo karibu yangu ili moyo utulie ausioooooo.

Leave a Reply