MPIGIE KURA AMANDA OLE SULULU July, 4, 2008

Shindano maarufu la kumtafuta Miss Universe 2008 limeshaanza kupamba moto.Kilele cha shindano hilo ni tarehe 13 Julai 2008 huko jijini Nha Trang nchini Vietnam.
Mrembo anayeiwakilisha Tanzania ni Amanda Ole Sululu(pichani akiwa amevalia vazi la kiasili/kitaifa).Sasa kama mjuavyo,Miss Universe huendana na kupigiana kura.Unachoombwa ni kumpigia kura Amanda Ole Sululu ili ashinde kipengele cha Vazi la Taifa.Upigaji kura unaanza Jumatatu 7,Julai. Tembelea ukurasa wa kupigia kura kwa kubonyeza hapa.Hima watanzania.Kila la kheri Amanda.














